Thursday 11 April 2013

UKIJIUNGA KUNA KUAPISHWA

Kuna sehemu maalum ya kula kiapo baada ya kujiunga na freemason,sehemu hii mwanachama huvalia mavazi rasmi ambayo ataapishwa na mkuu wa freemason na kukabidhiwa nguvu mpya za kuwa freemason na kuwa jasiri na mkakamavu na kuvalishwajoho takatifu na fimbo ya dhahabu na vifaa maalumu vya kutumia wakati akiwa anahudhuria vikao vya kidunia vya freemason.

FREEMASON HUWA KUNA KAFARA YA KUUWA ?

Freemason in viwango mbalimbali vya utajiri ambao utaumiliki wewe
  1. Kuna utajiri wa kuua ambao humfanya mtu awe bilionea
  2. Kuna utajiri wa kafara za magari ambao humfanya mtu tilionea
  3. kuna utajiri wa kafara za wanyama ambao humfanya mtu milionea
Aina hizi za utajiri inategemea viwango vyako unavyohitaji wewe mwenyewe na wala hulazimishwi na kila mwaka unaweka nadhiri ya kurudia nadhari uliiyoweka kama utakuwa na maamuzi ya kuendelea au kubadilisha kuingia nazili ingine ni wewe tu.kuna nadhili 20 ambazo zinaenda na viwango